Deuteronomy 3:11
11 a(Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa ▼▼ Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.
na upana wa dhiraa nne. ▼▼ Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.) Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani
(Hesabu 32:1-42)
Copyright information for
SwhKC